• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Nyasa District Council
Nyasa District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Nyasa District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Organisation Structrure
  • Services
    • Water services
    • Education services
    • Health services
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • primary education
      • secondary education
      • planning,statistics and monitoring
      • Agriculture,Irrigation and Cooperative
      • Community Development, Social Welfare and Youth
      • Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescure
      • Environmental and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Water
      • Land and Natural Resource
      • Health
    • Unity/Sections
      • Information and Communication Technology
      • Legal
      • Internal Auditor
      • Procurement and Supply
    • Full Council
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
      • Tourist attraction-Nyasa dc Video
    • speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events
  • Projects
    • Completed projects
    • On Progress project

RUVUMA yatoa Chanjo ya Polio kwa asilimia 122

Posted on: May 20th, 2022

MKOA wa Ruvuma umefanikiwa kutoa chanjo ya polio kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano kwa asilimia 122 .

Akizungumza kwenye kikao cha Mkoa cha  utekelezaji wa kampeni ya utoaji wa huduma za chanjo ya polio kilichofanyika mjini Songea,Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge amesema Mkoa umepata mafanikio makubwa katika awamu ya kwanza ya utoaji chanjo ya polio.

Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mheshimiwa Pololet Mgema,amesema katika awamu ya kwanza ya utoaji chanjo ya polio,Mkoa ulipanga kuchanja watoto 241,966 ambapo waliochanjwa walikuwa ni watoto 293,543 sawa na asilimia 122.

‘’Mkoa wa Ruvuma umekuwa kinara katika utoaji chanjo ya polio kati ya mikoa minne ya awamu ya kwanza iliyotekeleza kampeni,pia Mkoa wa Ruvuma ulikuwa kinara kwa utaoji chanjo za kawaida mwaka 2021’’.alisisitiza RC Ibuge.

Kwa mujibu wa RC Ibuge, katika chanjo ya UVIKO 19 ambayo Mkoa ulianza kuchanja Agosti 2022,Mkoa umechanja jumla ya watu 409,323 kati yao watu 322,363 sawa na asilimia 78.76 wamekamilisha dozi na watu 86,960 wamepata dozi ya kwanza.

Hata hivyo amesema ili kufikia asilimia 70 ya uchanjaji Mkoa wa Ruvuma,unatakiwa kuchanja watu 670,557 ambao ni asilimia 70 ya watu 957,938 wenye umri wa Zaidi ya miaka 18 ambao ndiyo wenye sifa ya kupatiwa chanjo ya UVIKO.

Amesema hadi kufikia Mei 15 mwaka huu,Mkoa wa Ruvuma umechanja watu 322,363 ambao wamekamilisha dozi sawa na asilimia 48.07 ya watu 670,557.

Kwa upande wake Mratibu wa chanjo Mkoa wa Ruvuma Winbroad Mvile amelitaja lengo la kampeni  za utoaji huduma za chanjo ya polio ya matone kwa watoto chini ya miaka mitano ni kuzuia uwekezekano wa watoto kupata madhara yatokanayo na virusi vya polio.

Hadi sasa visa viwili vya polio vimegundulika katika nchi mbili jirani  na Mkoa wa Ruvuma za Malawi na Msumbiji hivyo chanjo inasaidia kuzuia mlipuko wa ugonjwa huo kwa watoto baada ya kupata chanjo.

Announcements

  • Fursa ya kuwekeza kilimo cha Korosho shamba Wilaya ya Nyasa October 24, 2024
  • TANGAZO la kuitwa kwenye Usaili wa waandishi Wasaidizi na waendeshaji Vifaa vya Bayometriki (BVR) December 18, 2024
  • TANGAZO LA KUHAKIKI UMILIKI WA ARDHI NYASA August 30, 2021
  • MAREKEBISHO YA TAREHE YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 17, 2022
  • View All

Latest News

  • UTEKELEZAJI KAMPENI YA CHANJO YA MIFUGO YAANZA NYASA

    July 12, 2025
  • MAKUNDI SOGOZI YA WHATSAAP YAPASWA KUJADILI MAENDELEO

    July 12, 2025
  • DC MAGIRI AZINDUA RASMI BODI YA MAJI WILAYA YA NYASA

    July 12, 2025
  • DKT.SAMIA AMWAGA TENA MAMILIONI YA MIRADI NYASA

    July 10, 2025
  • View All

Video

TUNAMPONGEZA Rais Samia kwa kutuletea maendeleo Nyasa na kumteua Dkt Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza
More Videos

Quick Links

  • Ruvuma Regional Website
  • Songea Municipal Website
  • Songea District Website
  • Mbinga Town Website
  • Mbinga District Website
  • Madaba District Website
  • Tunduru District Website
  • EGA WEBSITE
  • Namtumbo District Website

Related Links

  • National website
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistic

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Nyasa District Council

    Postal Address: Box 90 Mbamba bay

    Telephone: 025 -2952003

    Mobile:

    Email: ps.ded@nyasadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Nyasa District Council. All rights reserved.