• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Nyasa District Council
Nyasa District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Nyasa District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Organisation Structrure
  • Services
    • Water services
    • Education services
    • Health services
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • primary education
      • secondary education
      • planning,statistics and monitoring
      • Agriculture,Irrigation and Cooperative
      • Community Development, Social Welfare and Youth
      • Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescure
      • Environmental and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Water
      • Land and Natural Resource
      • Health
    • Unity/Sections
      • Information and Communication Technology
      • Legal
      • Internal Auditor
      • Procurement and Supply
    • Full Council
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
      • Tourist attraction-Nyasa dc Video
    • speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events
  • Projects
    • Completed projects
    • On Progress project

VIONGOZI WA DINI, WAZEE RUVUMA WASHIRIKI MAOMBI YA KULIOMBEA TAIFA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

Posted on: September 9th, 2020

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amewaongoza viongozi wa dini na wazee maarufu katika Mkoa wa Ruvuma katika maombi maalum ya kuombea Taifa kuelekea uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28 mwaka huu.

Maombi hayo yamefanyika katika viwanja vya Ikulu Ndogo mjini Songea ambapo baada ya maombi wazee na viongozi wa dini  washiriki kula chakula cha jioni na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma.

Akizungumza kabla ya maombi hayo Mndeme amewashukuru viongozi wa dini na wazee maarufu kwa kumuunga mkono Rais Dkt.John Magufuli katika kipindi cha miaka mitano iliyopita  ambapo amewashauri kuendelea kumuunga mkono ili maendeleo aliyoyaanzisha  aweze kuyamalizia katika kipindi cha miaka mitano iliyobaki.

Amesema Rais Magufuli katika kipindi cha miaka mitano amefanikiwa kuwaunganisha watanzania wote kuwa kitu kimoja ambapo Rais Magufuli akiwa kanisani alianzisha michango ya ujenzi wa msikiti jambo ambalo amesema  halijawahi kutokea katika historia ya Tanzania.

“Magufuli ni Rais ambaye amedhamiria kutuunganisha watanzania kwa hiyo tuna kila sababu ya kuendelea kumuunga mkono,ili kasi hii ya maendeleo aliyoianzisha kwa wananchi aweze kuikamilisha’’,alisema Mndeme.

Mndeme amewaasa wazee na viongozi wa dini kuendelea kumtanguliza Mwenyezi Mungu kwa kila jambo na kuendelea kumuombea Rais Magufuli afya njema na maisha marefu sanjari na kufundisha mafundisho mema kwa vizazi vyote vitambue kazi njema inayofanywa na serikali ya awamu ya tano.

Amesema serikali ya Rais Magufuli inatarajia kutekeleza mradi wa ujenzi wa treni ya kisasa kutoka Mtwara hadi Mbambabay mkoani Ruvuma na kwamba watalaam wanafanya upembezi kwa ajili ya maandalizi ya mradi huo.

“Sisi wanaruvuma tutanufaika sana na miumbombinu hii ,unaweza kuamua kusafiri kwa gari,treni,meli  na ndege ,nawaambia haya kwa sababu mimi nimeshiriki na nimeona taarifa ya awali ya ujenzi wa reli ya Mtwara hadi Mbambabay’’,alisema.

Kwa upande  Mwakilishi wa viongozi wa dini Askofu Alimosa Mwasangapole wa Kanisa la TAG Songea  amesema viongozi wa dini wanaridhishwa na kazi ambayo anaifanya Rais Magufuli kutambua mchango wa dini katika maendeleo ya Taifa.

“Nimekuwepo tangu wakati wa uhuru,nimeona marais wote lakini huyu mtu ni wa pekee,kwa namna Rais Magufuli anavyowajengea watanzania imani kuhusu Mungu,huyu angepewa tu udaktari wa dini’’,alisema Askofu Mwasangapole.

Naye Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Manispaa ya Songea Exavery Nyoni akizungumza kwa niaba ya wazee wa Mkoa wa Ruvuma amesema isingekuwa Ilani ya CCM kupitisha mgombea Urais kufanya kazi kwa miaka kumi wangependa Rais Magufuli afanyekazi ya Urais katika maisha yake yote.

“Huyu nasema ni mtoto wa Nyerere kwa sababu yale yote ambayo Nyerere aliyaotea huyu ndiyo anayafanya,ingekuwa sio Ilani ya CCM tungesema aendelee tu mpaka Mungu atakapotaka,kwa kweli Mkoa wetu wa Ruvuma hadi sasa tumepiga hatua kubwa katika maendeleo’’,alisisitiza Nyoni.

Announcements

  • Fursa ya kuwekeza kilimo cha Korosho shamba Wilaya ya Nyasa October 24, 2024
  • TANGAZO la kuitwa kwenye Usaili wa waandishi Wasaidizi na waendeshaji Vifaa vya Bayometriki (BVR) December 18, 2024
  • TANGAZO LA KUHAKIKI UMILIKI WA ARDHI NYASA August 30, 2021
  • MAREKEBISHO YA TAREHE YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 17, 2022
  • View All

Latest News

  • Jela maisha Kwa Ubakaji

    May 27, 2025
  • Msigwa aipongeza Tamisemi kikao maafisa habari

    May 24, 2025
  • SERIKALI ilivyodhamiria kuboresha Barabara na madaraja

    May 23, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wapitia miradi 76 mkoa wa Ruvuma

    May 17, 2025
  • View All

Video

TUNAMPONGEZA Rais Samia kwa kutuletea maendeleo Nyasa na kumteua Dkt Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza
More Videos

Quick Links

  • Ruvuma Regional Website
  • Songea Municipal Website
  • Songea District Website
  • Mbinga Town Website
  • Mbinga District Website
  • Madaba District Website
  • Tunduru District Website
  • EGA WEBSITE
  • Namtumbo District Website

Related Links

  • National website
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistic

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Nyasa District Council

    Postal Address: Box 90 Mbamba bay

    Telephone: 025 -2952003

    Mobile:

    Email: ps.ded@nyasadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Nyasa District Council. All rights reserved.