• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Nyasa District Council
Nyasa District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Nyasa District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Organisation Structrure
  • Services
    • Water services
    • Education services
    • Health services
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • primary education
      • secondary education
      • planning,statistics and monitoring
      • Agriculture,Irrigation and Cooperative
      • Community Development, Social Welfare and Youth
      • Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescure
      • Environmental and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Water
      • Land and Natural Resource
      • Health
    • Unity/Sections
      • Information and Communication Technology
      • Legal
      • Internal Auditor
      • Procurement and Supply
    • Full Council
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
      • Tourist attraction-Nyasa dc Video
    • speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events
  • Projects
    • Completed projects
    • On Progress project

UBALOZI WA FINLAND WARIDHISHWA NA MRADI WA PANDAMITI KIBIASHARA NYASA

Posted on: June 13th, 2021

Ubalozi wa Finland Nchini Tanzania umeridhishwa na Mradi wa Panda Miti kibiashara unaotekelezwa katika Wilayani Nyasa.

Hayo Yamesemwa leo na Mshauri wa Mradi, wa  wa uendelezaji wa mnyororo wa thamani wa mazao ya misitu (Forvarc) kutoka Bw Juhan Harkonen, Aliyetembelea na kukagua Mradi wa Panda Miti kibiashara unaotekelezwa na wananchi wa Kata ya Liuli Wilayani Nyasa.

Bw Juhan amefafanua kuwa amekagua na kuridhishwa na maendeleo ya Mradi wa Panda miti kibiashara, baada ya kuona maendeleo yake ni mazuri na wananchi wamehamasika na kuitikia wito wa kupanda miti katika Safu ya Milima ya Livingstone Wilayani Nyasa.

Ametoa wito kwa wananchi kuendelea na Mradi huo kwa kuwa utawapa maendeleo makubwa ya kipato cha kaya na Taifa kwa ujumla.

Awali Akiwakaribisha wageni hao kutoka Ubalozi wa Finland ambao ni wafadhili wa Mradi , kupitia Program ya Forvac, Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mh Isabela Chilumba amewapongeza wananchi wa Kata zote Wilayani Nyasa zinazotekeleza Mradi Licha ya kuwa kupata vikwazo mbalimbali wameendelea kutekeleza Mradi huu kwa lengo la kuwa na zao la Kibishara, ili kuondokana na Umaskini na kujiongezea kipato, cha kaya na mapato ya Halmashauri.

Ameongeza kuwa Wilaya ya Nyasa inawashukuru wafadhili hao kwa kufadhili mradi wa pandamiti Kibiashara ambao utaleta tija kwa wananchi wa Nyasa na Taifa kwa Ujumla.

Ametoa Wito kwa wafadhili hao kufadhili miradi mingine kama ya Maji na Utalii kwa kuwa Wilaya hii ina uhitaji wa Ufadhili katika Sekta hizo.

Naye Mwenyekiti wa Kikundi cha Upandaji miti kibishara katika kata ya Liuli Bw Samweli Mawanja amewapongeza wafadhili hao kwa kufadhili mradi huo na amempongeza Mkuu wa Wilaya ya Nyasa na Mkururugenzi Mtendaji Wilaya ya Nyasa kwa Kusimamia vema Mradi huu.

Ujumbe huu kutoka Ubalozi wa Finland Nchini Tanzania umeambatana na Mshauri wa Mali Asili kutoka Ubalozi wa Finland Nchin Tanzania, Hein Vihemak na Mratibu wa kitaifa wa Forvac kutoka Wizara ya MaliAsili na Utalii.

Announcements

  • Fursa ya kuwekeza kilimo cha Korosho shamba Wilaya ya Nyasa October 24, 2024
  • TANGAZO la kuitwa kwenye Usaili wa waandishi Wasaidizi na waendeshaji Vifaa vya Bayometriki (BVR) December 18, 2024
  • TANGAZO LA KUHAKIKI UMILIKI WA ARDHI NYASA August 30, 2021
  • MAREKEBISHO YA TAREHE YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 17, 2022
  • View All

Latest News

  • RAIS SAMIA AMWAGA MAMILIONI YA EDHA KUIMARISHA SEKTA YA AFYA NYASA DC

    June 28, 2025
  • RAIS SAMIA AMWAGA MAMILIONI YA EDHA KUIMARISHA SEKTA YA AFYA NYASA DC

    June 28, 2025
  • TAARIFA YA MAENDELEO YA JAMII

    June 26, 2025
  • KICHEKO CHATAWALA TAFRIJA YA KUWAAGA MADIWANI

    June 19, 2025
  • View All

Video

TUNAMPONGEZA Rais Samia kwa kutuletea maendeleo Nyasa na kumteua Dkt Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza
More Videos

Quick Links

  • Ruvuma Regional Website
  • Songea Municipal Website
  • Songea District Website
  • Mbinga Town Website
  • Mbinga District Website
  • Madaba District Website
  • Tunduru District Website
  • EGA WEBSITE
  • Namtumbo District Website

Related Links

  • National website
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistic

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Nyasa District Council

    Postal Address: Box 90 Mbamba bay

    Telephone: 025 -2952003

    Mobile:

    Email: ps.ded@nyasadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Nyasa District Council. All rights reserved.