• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Nyasa District Council
Nyasa District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Nyasa District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Organisation Structrure
  • Services
    • Water services
    • Education services
    • Health services
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • primary education
      • secondary education
      • planning,statistics and monitoring
      • Agriculture,Irrigation and Cooperative
      • Community Development, Social Welfare and Youth
      • Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescure
      • Environmental and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Water
      • Land and Natural Resource
      • Health
    • Unity/Sections
      • Information and Communication Technology
      • Legal
      • Internal Auditor
      • Procurement and Supply
    • Full Council
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
      • Tourist attraction-Nyasa dc Video
    • speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events
  • Projects
    • Completed projects
    • On Progress project

Tanroad Mkoa wa Ruvuma yasema inaendelea kujenga Barabara ya Mbinga amani Makoro Ndumbi

Posted on: November 4th, 2024

WAKALA wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Ruvuma,umewahakikishia wakazi wa wilaya za Mbinga na Nyasa wanaotumia barabara ya Amanimakoro-Ruanda yenye urefu wa kilometa 35 kuwa,ujenzi wa barabara hiyo unaendelea na itakamilika mwaka 2025.

Kauli hiyo imetolewa na Meneja wa TANROADS Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Saleh Juma, baada ya kukagua ujenzi wa barabara hiyo inayojengwa kwa kiwango cha lami na Mkandarasi kampuni ya China Railway Sevent Group(CRSG) kwa gharama ya Sh.bilioni 60.4.


Amesema,barabara ya Amanimakoro-Ruanda ni ya kimkakati na muhimu kwa uchumi wa mkoa wa Ruvuma na Taifa kwa ujumla kwani inaunganisha wilaya ya Mbinga,Nyasa na mkoa jirani wa Njombe na inatumika kusafirisha makaa ya mawe kutoka Ruvuma kupeleka mikoa mbalimbali nchini na nje ya nchi.


Kwa mujibu wa Saleh kwa sasa kazi ya ujenzi inaendelea vizuri na kwamba matarajio ya Serikali barabara hiyo itakamilika haraka ili wananchi waweze kuitumia kwenye shughuli zao za usafiri na usafishaji.


Amesema,barabara hiyo ni sehemu ya barabara ya Kitai-Ruanda hadi Lituhi kuelekea Mbambabay wilayani Nyasa kupitia Bandari ya Ndumbi,ambapo Serikali iko katika maandalizi ya kujenga kipande kingine kutoka Ruanda hadi Lituhi kwa kiwango cha lami.


“kimsingi kazi inayofanywa na mkandarasi ni kuandaa lea ya kwanza na pili kabla ya kuweka lami,mpango wetu kwa mwaka huu 2024 tuwe na lami yenye urefu wa angalau kilometa tano,nachukua nafasi hii kuwaeleza wananchi wa mkoa wa Ruvuma kwamba, Mkandarasi yuko saiti na kazi inaendelea"alisema Saleh.


Amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kutoa fedha zilizowezesha ujenzi wa barabara hiyo kuendelea na kuhaidi kumsimamia mkandarasi ili aweze kukamilisha ujenzi kazi kwa wakati kwani kuwa barabara hiyo inategemewa sana kuharakisha maendeleo na uchumi wa mkoa wa Ruvuma.

Announcements

  • Fursa ya kuwekeza kilimo cha Korosho shamba Wilaya ya Nyasa October 24, 2024
  • TANGAZO la kuitwa kwenye Usaili wa waandishi Wasaidizi na waendeshaji Vifaa vya Bayometriki (BVR) December 18, 2024
  • TANGAZO LA KUHAKIKI UMILIKI WA ARDHI NYASA August 30, 2021
  • MAREKEBISHO YA TAREHE YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 17, 2022
  • View All

Latest News

  • Jela maisha Kwa Ubakaji

    May 27, 2025
  • Msigwa aipongeza Tamisemi kikao maafisa habari

    May 24, 2025
  • SERIKALI ilivyodhamiria kuboresha Barabara na madaraja

    May 23, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wapitia miradi 76 mkoa wa Ruvuma

    May 17, 2025
  • View All

Video

TUNAMPONGEZA Rais Samia kwa kutuletea maendeleo Nyasa na kumteua Dkt Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza
More Videos

Quick Links

  • Ruvuma Regional Website
  • Songea Municipal Website
  • Songea District Website
  • Mbinga Town Website
  • Mbinga District Website
  • Madaba District Website
  • Tunduru District Website
  • EGA WEBSITE
  • Namtumbo District Website

Related Links

  • National website
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistic

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Nyasa District Council

    Postal Address: Box 90 Mbamba bay

    Telephone: 025 -2952003

    Mobile:

    Email: ps.ded@nyasadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Nyasa District Council. All rights reserved.