• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Nyasa District Council
Nyasa District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Nyasa District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Organisation Structrure
  • Services
    • Water services
    • Education services
    • Health services
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • primary education
      • secondary education
      • planning,statistics and monitoring
      • Agriculture,Irrigation and Cooperative
      • Community Development, Social Welfare and Youth
      • Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescure
      • Environmental and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Water
      • Land and Natural Resource
      • Health
    • Unity/Sections
      • Information and Communication Technology
      • Legal
      • Internal Auditor
      • Procurement and Supply
    • Full Council
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
      • Tourist attraction-Nyasa dc Video
    • speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events
  • Projects
    • Completed projects
    • On Progress project

RUWASA RUVUMA ILIVYODHAMIRIA KUSAMBAZA MAJI VIJIJINI

Posted on: February 22nd, 2021


WAKALA wa Maji na Usafi wa Mazingira vijijini (RUWASA)  ilianzishwa kwa Sheria namba tano ya huduma ya maji na usafi wa mazingira ya mwaka 2019 na kuanza kutumika rasmi Julai Mosi,2019

Mhandisi Rebman Ganshonga ni Meneja wa RUWASA  Mkoa wa Ruvuma,anabainisha utekelezaji wa miradi ya maji na mwelekeo wa RUWASA mkoani Ruvuma katika utoaji huduma ya maji vijijini.

Mhandisi Ganshonga anataja hali ya upatikanaji huduma ya maji kwa kila Halmashauri hadi kufikia Juni 2019,ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Songea yenye watu 141,427,idadi ya watu wanaopata huduma ya maji ni 86,270 sawa na asilimia 61.0 na kwamba Halmashauri hiyo ina vituo vinavyotoa maji 951 kati ya hivyo vinavyofanyakazi ni vituo 590.

Kwa mujibu wa Mhandisi huyo, katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea RUWASA inahudumia wakazi 90,730,watu wanaopata huduma ya maji ni 45,479 sawa na asilimia 50.0 ambapo idadi ya vituo vya kutolea maji ni 401 kati ya hivyo vituo vinavyofanya kazi ni 372.

“Katika Halmashauri ya Mbinga yenye idadi ya watu 235,648,idadi ya watu wanaopata maji ni 123,648 sawa na asilimia 52.4,idadi ya vituo vya kuchotea maji ni 375,vituo vinavyofanya kazi ni 196’’,anasema Mhandisi Ganshonga.

Kulingana na Meneja huyo,katika Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo yenye wakazi  226,945,idadi ya watu wanaopata huduma ya maji ni 147,515 sawa na asilimia 65.0 na kwamba kuna vituo 939 vya kuchotea maji,kati ya hivyo vituo vinavyofanyakazi ni 484.

Anabainisha zaidi kuwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru yenye wakazi 256,510,watu wanaopata huduma ya maji ni 164,166 sawa na asilimia 64.0 na kwamba katika Halmashauri hiyo vimejengwa vituo vya kuchotea maji 954 kati ya hivyo vinavyofanyakazi ni 714.

Kwa mujibu wa Meneja RUWASA Mkoa,katika Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa yenye wakazi146,160,watu wanaopata huduma ya maji ni 73,080 sawa na asilimia 50.0 na kwamba vituo vya kuchotea maji ni 645 kati ya hivyo vinavyofanya kazi ni 312.

Katika Halmashauri ya Madaba yenye wakazi 53,883,idadi ya watu wanaopata huduma ya maji ni 33,407 sawa na asilimia 62.0 na kwamba Halmashauri hiyo ina vituo vya kuchotea maji 419,kati ya hivyo vituo vinavyotoa maji ni 267.

Kulingana na Mhandisi Ganshonga,katika Halmashauri ya Mbinga Mji yenye wakazi 68,338,idadi ya watu wanaopata maji ni 32,500 sawa na asilimia 47.7 na kwamba katika Halmashauri hiyo kuna vituo 305 vya kuchotea maji kati ya  hivyo ni vituo vinavyofanyakazi ni 130.

“Kwa ujumla katika Mkoa wa Ruvuma RUWASA inahudumia wakazi 1,219,642,kati yao idadi ya watu wanaopata maji ni 704,065 sawa na asilimia 57.9,jumla ya vituo vya kuchotea maji ni 4,989,vituo vinavyofanyakazi ni 3065’’,anasisitiza Mhandisi Ganshonga.

Hata hivyo anaitaja hali ya upatikanaji wa maji katika Halmashauri zote nane mkoani Ruvuma hadi kufikia Desemba 2020 iliwezesha wakazi 833,361 kati ya 1,344,397 kupata maji  sawa na asilimia 62.6.

Anaitaja bajeti ya RUWASA mkoani Ruvuma katika kipindi cha  mwaka wa fedha 2020/2021 imelenga kutekeleza idadi ya miradi ya maji 77  katika Wilaya za Songea,Mbinga,Namtumbo,Tunduru na Nyasa ambapo jumla ya shilingi bilioni 17,095,079,568.15 zimetengwa.


 

Announcements

  • Fursa ya kuwekeza kilimo cha Korosho shamba Wilaya ya Nyasa October 24, 2024
  • TANGAZO la kuitwa kwenye Usaili wa waandishi Wasaidizi na waendeshaji Vifaa vya Bayometriki (BVR) December 18, 2024
  • TANGAZO LA KUHAKIKI UMILIKI WA ARDHI NYASA August 30, 2021
  • MAREKEBISHO YA TAREHE YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 17, 2022
  • View All

Latest News

  • Jela maisha Kwa Ubakaji

    May 27, 2025
  • Msigwa aipongeza Tamisemi kikao maafisa habari

    May 24, 2025
  • SERIKALI ilivyodhamiria kuboresha Barabara na madaraja

    May 23, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wapitia miradi 76 mkoa wa Ruvuma

    May 17, 2025
  • View All

Video

TUNAMPONGEZA Rais Samia kwa kutuletea maendeleo Nyasa na kumteua Dkt Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza
More Videos

Quick Links

  • Ruvuma Regional Website
  • Songea Municipal Website
  • Songea District Website
  • Mbinga Town Website
  • Mbinga District Website
  • Madaba District Website
  • Tunduru District Website
  • EGA WEBSITE
  • Namtumbo District Website

Related Links

  • National website
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistic

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Nyasa District Council

    Postal Address: Box 90 Mbamba bay

    Telephone: 025 -2952003

    Mobile:

    Email: ps.ded@nyasadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Nyasa District Council. All rights reserved.