• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Nyasa District Council
Nyasa District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Nyasa District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Organisation Structrure
  • Services
    • Water services
    • Education services
    • Health services
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • primary education
      • secondary education
      • planning,statistics and monitoring
      • Agriculture,Irrigation and Cooperative
      • Community Development, Social Welfare and Youth
      • Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescure
      • Environmental and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Water
      • Land and Natural Resource
      • Health
    • Unity/Sections
      • Information and Communication Technology
      • Legal
      • Internal Auditor
      • Procurement and Supply
    • Full Council
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
      • Tourist attraction-Nyasa dc Video
    • speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events
  • Projects
    • Completed projects
    • On Progress project

RC. IBUGE Azindua chanjo ya UVICO 19 Ruvuma ,asitisha Mikusanyiko mikubwa

Posted on: August 5th, 2021

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge amezindua chanjo ya UVIKO 19 kwa kuwa Raia wa kwanza  mkoani Ruvuma kuchanja chanjo hiyo kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea.

Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma Stephen Ndaki alikuwa ni Raia wa pili kuchanjwa akifuatiwa na Kamati yote ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Ruvuma.Wazee na viongozi mbalimbali wa dini pia walijitokeza kwa hiari kuchanjwa chanjo hiyo.

Akizungumza kabla ya uzinduzi huo,Mganga Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dr.Jairy Khanga amesema Mkoa wa Ruvuma wenye watu zaidi ya milioni 1.6  katika awamu ya kwanza umeletewa chanjo dozi 30,000.

Mgeni rasmi kwenye uzinduzi huo Mkuu wa Mkoa wa  Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge  akizungumza kabla ya kuzindua chanjo hiyo ametoa rai kwa wananchi kunawa mikono mara kwa mara kwa maji safi tiririka na sabuni,kuvaa barakoa wakati wote wanapokuwa kwenye mikusanyiko na kutumia vipukusa mikono.

Hata hivyo amewashauri wananchi mkoani Ruvuma kupata chanjo ya UVIKO 19 kwa hiari kwa kuzingatia sifa zilizoelekezwa na wataalam wa afya,kupata lishe bora na kufanya mazoezi.

“Kutokana na wimbi la tatu la UVIKO 19 katika Mkoa wa Ruvuma naelekeza viongozi wa ngazi zote waoneshe mfano kwa wananchi kwa kuchukua hatua za tahadhari za kujikinga dhidi ya  UVIKO 19’’,alisisitiza RC Ibuge.

Mkuu  wa Mkoa amewaagiza viongozi wa Taasisi zote wahakikishe wanasimamia upatikanaji wa vifaa kinga kama barakoa,maji tiririka na sabuni,pia ametoa rai kwa vyombo vya mawasiliano mkoani Ruvuma kutoa elimu kwa jamii kuhusu njia sahihi za kujikinga na UVIKO 19.

RC Ibuge ameziagiza Halmashauri zote kuhakikisha kuwa maeneo yote yenye mikusanyiko ya watu kama stendi,bustani za kupumzikia,misikitini na makanisani kunakuwa na vifaa vya kunawia mikono.

Amewaagiza viongozi wa dini wahakikishe kuwa waumini wote wanavaa barakoa wakati wote wa Ibada na kukaa umbali usiozidi mita moja mtu mmoja hadi mwingine na kwamba Ibada ziwe  za muda mfupi usiozidi saa mbili na kwamba huduma zinazohusiana kugusana ziepukwe.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Mkoa kuanzia Agosti 4 mwaka huu amesitisha mikusanyiko yote mikubwa ya kijamii,kidini na kisiasa hadi ugonjwa utakapodhitibiwa na kutolewa taarifa rasmi na Wizara ya Afya.

Hata hivyo amesema mikusanyiko ya lazima,wananchi watalazimika kuomba kibali kutoka kwenye Mamlaka husika.

Announcements

  • Fursa ya kuwekeza kilimo cha Korosho shamba Wilaya ya Nyasa October 24, 2024
  • TANGAZO la kuitwa kwenye Usaili wa waandishi Wasaidizi na waendeshaji Vifaa vya Bayometriki (BVR) December 18, 2024
  • TANGAZO LA KUHAKIKI UMILIKI WA ARDHI NYASA August 30, 2021
  • MAREKEBISHO YA TAREHE YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 17, 2022
  • View All

Latest News

  • Jela maisha Kwa Ubakaji

    May 27, 2025
  • Msigwa aipongeza Tamisemi kikao maafisa habari

    May 24, 2025
  • SERIKALI ilivyodhamiria kuboresha Barabara na madaraja

    May 23, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wapitia miradi 76 mkoa wa Ruvuma

    May 17, 2025
  • View All

Video

TUNAMPONGEZA Rais Samia kwa kutuletea maendeleo Nyasa na kumteua Dkt Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza
More Videos

Quick Links

  • Ruvuma Regional Website
  • Songea Municipal Website
  • Songea District Website
  • Mbinga Town Website
  • Mbinga District Website
  • Madaba District Website
  • Tunduru District Website
  • EGA WEBSITE
  • Namtumbo District Website

Related Links

  • National website
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistic

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Nyasa District Council

    Postal Address: Box 90 Mbamba bay

    Telephone: 025 -2952003

    Mobile:

    Email: ps.ded@nyasadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Nyasa District Council. All rights reserved.