• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Nyasa District Council
Nyasa District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Nyasa District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Organisation Structrure
  • Services
    • Water services
    • Education services
    • Health services
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • primary education
      • secondary education
      • planning,statistics and monitoring
      • Agriculture,Irrigation and Cooperative
      • Community Development, Social Welfare and Youth
      • Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescure
      • Environmental and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Water
      • Land and Natural Resource
      • Health
    • Unity/Sections
      • Information and Communication Technology
      • Legal
      • Internal Auditor
      • Procurement and Supply
    • Full Council
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
      • Tourist attraction-Nyasa dc Video
    • speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events
  • Projects
    • Completed projects
    • On Progress project

NYASA yakamilisha kutoa mafunzo kwa wataalam wa kisekta,Ajira za muda TASAF

Posted on: April 25th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa Tarehe 25.04.2022, imemaliza kutoa mafunzo  kwa Wataalam wa Kisekta yenye lengo la kuwajengea Uwezo wa Uibuaji wa Miradi ya Ajira ya Muda  kwa walengwa, chini ya Mpango wa kunusuru kaya maskini TASAF Awamu ya Tatu kipindi cha pili, na Uendelezaji wa Miundombinu kwa Wilaya ya Nyasa.

Mafunzo hayo yamefanyika, katika Ukumbi wa Kepten John Komba ,Mbamba bay Wilayani Nyasa, na kushirikisha Washiriki 46 kwa siku sita, kutoka Sekta za kilimo ,Maji,maendeleo ya Jamii,misitu ,Mifugo , Uvuvi, maji, barabara.

Akifunga Mafunzo hayo Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Kanali Laban Thomas, amewataka washiriki kwenda kutumia  mafunzo waliyopewa, kuwaelimisha wananchi,na kuibua miradi itakayoinufaisha jamii na kuondokana na Umaskini.

Ameongeza kuwa wananchi wanahitaji wapewe elimu nzuri, ili waweze kuibua miradi itakayowapa maendeleo na Washiriki kikamilifu, kuwapa elimu wananchi kuibua miradi na kuiendeleza miradi hiyo, ili  kutokomeza  umaskini.

Awali akitoa Taarifa ya Mafunzo hayo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw Ladislaus Mwamanga, Mwezeshaji Dismas John amesema washiriki wamepata mafunzo ambayo yamewaandaa,  kuibua,kuandaa, kutekeleza na kusimamia  Miradi ya kutoa ajira za muda kwa Walengwa wa TASAF, ili kuhakikisha uandaaji na utekelezaji wa miradi unazingatia viwango vya kisekta na ubora unaokubalika.

Aidha amesema, Lengo la Miradi ya kutoa ajira za Muda inalenga kutoa ajira kwa kaya maskini wakati wa kipindi cha hali ya wanakaya hao, wasiwaze kuuza raslimali walizonazo kwa ajili ya kupata fedha, kuwezesha Miundombinu ya jamii, kuwezesha ujira wa kaya utakaowasaidia kuongeza kipato na kupunguza Umaskini.Walengwa watakaoshiriki utekelezaji watapata Ujuzi kupitia Miradi itakayotekelezwa na sifa ya kaya zitakazoshiriki utekelezaji wa miradi hii ni zenye watu wenye uwezo wa kufanya kazi na wenye umri wa kuanzia miaka 18 hadi 65.

Kwa Upande wao Washiriki wa mafunzo hayo wamesema watatumia mafunzo hayo kuibua miradi itakayowapa ajira walengwawa TASAF.

IMEANDALIWA NA

Netho Sichali

Afisa Habari Nyasa dc.

Announcements

  • Fursa ya kuwekeza kilimo cha Korosho shamba Wilaya ya Nyasa October 24, 2024
  • TANGAZO la kuitwa kwenye Usaili wa waandishi Wasaidizi na waendeshaji Vifaa vya Bayometriki (BVR) December 18, 2024
  • TANGAZO LA KUHAKIKI UMILIKI WA ARDHI NYASA August 30, 2021
  • MAREKEBISHO YA TAREHE YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 17, 2022
  • View All

Latest News

  • Jela maisha Kwa Ubakaji

    May 27, 2025
  • Msigwa aipongeza Tamisemi kikao maafisa habari

    May 24, 2025
  • SERIKALI ilivyodhamiria kuboresha Barabara na madaraja

    May 23, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wapitia miradi 76 mkoa wa Ruvuma

    May 17, 2025
  • View All

Video

TUNAMPONGEZA Rais Samia kwa kutuletea maendeleo Nyasa na kumteua Dkt Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza
More Videos

Quick Links

  • Ruvuma Regional Website
  • Songea Municipal Website
  • Songea District Website
  • Mbinga Town Website
  • Mbinga District Website
  • Madaba District Website
  • Tunduru District Website
  • EGA WEBSITE
  • Namtumbo District Website

Related Links

  • National website
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistic

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Nyasa District Council

    Postal Address: Box 90 Mbamba bay

    Telephone: 025 -2952003

    Mobile:

    Email: ps.ded@nyasadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Nyasa District Council. All rights reserved.