• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Nyasa District Council
Nyasa District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Nyasa District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Organisation Structrure
  • Services
    • Water services
    • Education services
    • Health services
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • primary education
      • secondary education
      • planning,statistics and monitoring
      • Agriculture,Irrigation and Cooperative
      • Community Development, Social Welfare and Youth
      • Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescure
      • Environmental and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Water
      • Land and Natural Resource
      • Health
    • Unity/Sections
      • Information and Communication Technology
      • Legal
      • Internal Auditor
      • Procurement and Supply
    • Full Council
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
      • Tourist attraction-Nyasa dc Video
    • speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events
  • Projects
    • Completed projects
    • On Progress project

NYASA yakabidhi pikipiki 2 kwa maafisa ugani

Posted on: February 8th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa Tarehe 08/02/2022 imekabidhi pikipiki mbili, (02) kwa Maafisa ugani wa Kata ya Mtipwili na Kingerikiti ili kuboresha utendaji kazi kwa kuwahudumia wafugaji,Makabidhiano yaliyofanyika katika Viwanja vya Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Nyasa.

Akikabidhi pikipiki hizo Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Kanali Laban Thomas, amewataka Maafisa ugani hao kutumia Pikipiki hizo, kwa lengo lililokusudiwa na Serkali hasa kwa kuwahudumia na kuwafikia kwa wakati, wafugaji kwa kutoa elimu ya ufugaji na ushauri wa ufugaji wa Kisasa ili kukuza kipato cha wafugaji, na kuacha mara moja tabia ya kutumia pikipiki hizo, kwa maslahi yao binafsi kwa kuwa pikipiki hizo zimeletwa kwa lengo la kuwahudumia wafugaji.

Ameongeza kuwa kuna baadhi ya Wautumishi wa umma wamekuwa na tabia ya kutumia mali za serikali kwa kuazimisha,marafiki zao au kukodisha na kujipatia mapato binafsi,hivyo amewataka watumie kutatua changamoto za wafugaji.

“Rai yangu kwenu pikipiki hizo zikatumike kwa yale  makusudio ya Serikali, ambayo imeletwa, isiwe ni chanzo cha kutafuta bodaboda na mambo yenu ambayo sio tija, wafugaji wengi wanahitaji Elimu ya Ufugaji kwa hiyo nendeni mkazifanyie kazi vizuri,najua kuwa kata zenu ni kubwa na zina wafugaji”.

Kwa Upande wao maafisa ugani wa kutoka kata hizo wamesema watatumia pikipiki hizo kuboresha utendaji kazi wa kwa kuwa awali walikuwa na changamoto ya Usafiri ambayo iliwafanya kutowafikia wafugaji kwa haraka.

Announcements

  • Fursa ya kuwekeza kilimo cha Korosho shamba Wilaya ya Nyasa October 24, 2024
  • TANGAZO la kuitwa kwenye Usaili wa waandishi Wasaidizi na waendeshaji Vifaa vya Bayometriki (BVR) December 18, 2024
  • TANGAZO LA KUHAKIKI UMILIKI WA ARDHI NYASA August 30, 2021
  • MAREKEBISHO YA TAREHE YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 17, 2022
  • View All

Latest News

  • Jela maisha Kwa Ubakaji

    May 27, 2025
  • Msigwa aipongeza Tamisemi kikao maafisa habari

    May 24, 2025
  • SERIKALI ilivyodhamiria kuboresha Barabara na madaraja

    May 23, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wapitia miradi 76 mkoa wa Ruvuma

    May 17, 2025
  • View All

Video

TUNAMPONGEZA Rais Samia kwa kutuletea maendeleo Nyasa na kumteua Dkt Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza
More Videos

Quick Links

  • Ruvuma Regional Website
  • Songea Municipal Website
  • Songea District Website
  • Mbinga Town Website
  • Mbinga District Website
  • Madaba District Website
  • Tunduru District Website
  • EGA WEBSITE
  • Namtumbo District Website

Related Links

  • National website
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistic

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Nyasa District Council

    Postal Address: Box 90 Mbamba bay

    Telephone: 025 -2952003

    Mobile:

    Email: ps.ded@nyasadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Nyasa District Council. All rights reserved.