• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Nyasa District Council
Nyasa District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Nyasa District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Organisation Structrure
  • Services
    • Water services
    • Education services
    • Health services
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • primary education
      • secondary education
      • planning,statistics and monitoring
      • Agriculture,Irrigation and Cooperative
      • Community Development, Social Welfare and Youth
      • Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescure
      • Environmental and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Water
      • Land and Natural Resource
      • Health
    • Unity/Sections
      • Information and Communication Technology
      • Legal
      • Internal Auditor
      • Procurement and Supply
    • Full Council
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
      • Tourist attraction-Nyasa dc Video
    • speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events
  • Projects
    • Completed projects
    • On Progress project

Nyasa yaidhinishiwa Bilioni 10 kutekeleza miradi ya Maendeleo

Posted on: November 5th, 2023

NYASA YAIDHINISHIWA BILIONI 10 KUTEKELEZA SHUGHULI ZA MAENDELEO

SERIKALI imeidhinisha zaidi ya shilingi bilioni kumi kwa ajili ya kutekeleza shughuli za mendeleo katika Halmashauri ya Nyasa mkoani Ruvuma  katika kipindi cha mwaka wa fedha 2022/2023.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Nyasa Ndugu Khalid Khalif  wakati anazungumza na wanahabari ofisini kwake Kilosa mjini Mbambabay.

Amesema kati ya fedha hizo zaidi ya shilingi bilioni 4.1 ni fedha za ndani na zaidi ya shilngi bilioni 5.9 ni fedha za nje  na kwamba kwa mwaka wa fedha 2022/2023 Halmashauri hiyo imepokea zaidi ya shilingi bilioni 7.9 sawa na asilimia 78.6  ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 3.3 fedha za ndani.

“Halmashauri pia imepokea zaidi ya shilingi bilioni 4.5  fedha za nje  na  zaidi ya shilingi milioni 319,fedha zilizotolewa nje ya bajeti  hivyo kufanya mapokezi ya fedha zote kuwa ni zaidi ya shilingi bilioni 8.2’’,alisema Khalif.

Hata hivyo amesema hadi kufikia Juni 30 mwaka huu zaidi ya shilingi bilioni 6.6 zilikuwa zimetumika kutekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo sawa na asilimia 80 ya fedha zilizopokelewa.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Nyasa Mheshimiwa Sterwat Nombo  amempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha kiasi cha shilingi bilioni 2.9 kutekeleza mradi wa jengo la ofisi ya Mkrugenzi wa Halmashauri ya Nyasa ambapo hivi sasa watalaam wanafanya kazi vizuri ya kuwahudumia wananchi.

Amesema serikali hadi sasa imetoa shilingi bilioni 3.3 kuboresha miundombinu ya afya katika hospitali ya wilaya ya Nyasa ambapo hivi sasa wananchi wanapata huduma zote muhimu ndani ya wilaya.

Amesisitiza kuwa miaka mitatu ya Rais Samia imeleta faraja kubwa kwa wananchi wa Nyasa na kwamba kumekuwa na mafuriko ya miradi ya mabilioni ya fedha iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa  katika Halmashauri hiyo.

Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa ni miongoni mwa Halmashauri nane za Mkoa wa Ruvuma ambayo inapakana na nchi za Malawi na Msumbiji.

Announcements

  • Fursa ya kuwekeza kilimo cha Korosho shamba Wilaya ya Nyasa October 24, 2024
  • TANGAZO la kuitwa kwenye Usaili wa waandishi Wasaidizi na waendeshaji Vifaa vya Bayometriki (BVR) December 18, 2024
  • TANGAZO LA KUHAKIKI UMILIKI WA ARDHI NYASA August 30, 2021
  • MAREKEBISHO YA TAREHE YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 17, 2022
  • View All

Latest News

  • Jela maisha Kwa Ubakaji

    May 27, 2025
  • Msigwa aipongeza Tamisemi kikao maafisa habari

    May 24, 2025
  • SERIKALI ilivyodhamiria kuboresha Barabara na madaraja

    May 23, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wapitia miradi 76 mkoa wa Ruvuma

    May 17, 2025
  • View All

Video

TUNAMPONGEZA Rais Samia kwa kutuletea maendeleo Nyasa na kumteua Dkt Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza
More Videos

Quick Links

  • Ruvuma Regional Website
  • Songea Municipal Website
  • Songea District Website
  • Mbinga Town Website
  • Mbinga District Website
  • Madaba District Website
  • Tunduru District Website
  • EGA WEBSITE
  • Namtumbo District Website

Related Links

  • National website
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistic

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Nyasa District Council

    Postal Address: Box 90 Mbamba bay

    Telephone: 025 -2952003

    Mobile:

    Email: ps.ded@nyasadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Nyasa District Council. All rights reserved.