• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Nyasa District Council
Nyasa District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Nyasa District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Organisation Structrure
  • Services
    • Water services
    • Education services
    • Health services
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • primary education
      • secondary education
      • planning,statistics and monitoring
      • Agriculture,Irrigation and Cooperative
      • Community Development, Social Welfare and Youth
      • Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescure
      • Environmental and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Water
      • Land and Natural Resource
      • Health
    • Unity/Sections
      • Information and Communication Technology
      • Legal
      • Internal Auditor
      • Procurement and Supply
    • Full Council
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
      • Tourist attraction-Nyasa dc Video
    • speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events
  • Projects
    • Completed projects
    • On Progress project

MKUU WA WILAYA YA NYASA AKABIDHI CHETI KIPYA CHA USAJILI, WANANCHI WAMPONGEZA KWA UCHAPAKAZI WAKE

Posted on: September 5th, 2020

Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Bi  Isabela Chilumba, jana amekabidhi Cheti cha Usajili wa Chama Kipya cha Msingi cha Ushirika wa Mazao Litindo,  ambacho kimesogeza karibu  Huduma ya kuuza mazao kwa wakulima wa Kijiji cha Litindo kata ya Luhangarasi Wilayani Nyasa, Makabidhiano  yaliyofanyika katika Viwanja vya Ofisi ya Serikali ya kijiji  cha Litindo Wilayani hapa.

Akikabidhi Cheti Cha Usajili amewataka wananchi wa Kijiji hicho, na Wilaya ya Nyasa kwa ujumla, hususani Vijana,  kuongeza uzalishaji wa zao la kahawa, kwa kuwa Ardhi  ipo ya kutosha inayostawisha zao la kahawa ili kuongeza kipato Ngazi ya kaya na Taifa kwa ujumla.

Chilumba alifafanua kuwa,  wananchi wa kijiji cha Litindo wamefurahia kupewa Cheti cha Usajili wa Chama Cha Ushirika cha Msingi, ambacho ilikuwa ni  kero ya wananchi wa kijiji hicho kwa kuwa, awali walikuwa wanasafirisha mazao yao umbali mrefu, na walikuwa wakiuza Kwenye Chama cha Luhangarasi Amcos, lakini kwa sasa watakuwa wanauza katika Chama chao ambacho kimepata usajili.

Aliongeza kuwa, wasifurahie kupata usajili tu peke yake bali waongeze uzalishaji wa zao hilo, kwa kuongeza mashamba mapya na kupanda mbegu bora za kisasa, ambazo huzalisha mazao mengi na kwa muda mfupi. Badala ya kusubiri mashamba ya kurithi peke yake. Amewaagiza Watendaji wa Kata na Kijiji kuhakikisha kila mkulima anaongeza Uzalishaji wa zao la Kahawa kwa kila Msimu wa kilimo.

“Ndugu wakulima nimewaona leo mnafurahia kupewa cheti cha Usajili wa Chama chenu, lakini furaha hiyo isiishie hapa bali iwe fursa kwenu ya kuongeza uzalishaji wa zao la kahawa hapa kijini kwenu na Wilaya ya Nyasa kwa ujumla, hasa vijana kila kijana anatakiwa kuwa na walao hekari mbili kwa kufanya hivi hata chama chenu cha ushirika kitakuwa na nguvu kwa kuwa kitakuwa na mazao mengi”.

Aidha alitoa wito kwa viongozi wa chama hicho kuwa waaminifu na waadilifu katika kutekeleza majukumu yao kwa kulinda na kutunza Fedha na mali ya Chama ili wananchi wakipende Chama chao, na kuongeza uzalishaji wa zao hilo. Pia aliwatahadharisha kuwa Serikali Wilayani hapa ipo makini na itawachukulia hatua za kisheria Viongozi wa Vyama vya Ushirika watakaohusika na Wizi au upotevu wa Fedha za wakulima.

Kwa upande wao wanachama na wakulima wa mazao Katika Kijiji hicho wamempongeza Mkuu wa Wilaya ya Nyasa kwa uchapakazi wake na kutatua Changamoto mbalimbali za Wananchi kwa haraka, na kumwomba aendelee kuwasaidia na kuwaongoza ili wazidi kupata  maendeleo, na kusema kuwa wataendelea kuongeza uzalishaji wa mazao kwa kuwa changamoto iliyokuwa inawakabili imetatuliwa.

Announcements

  • Fursa ya kuwekeza kilimo cha Korosho shamba Wilaya ya Nyasa October 24, 2024
  • TANGAZO la kuitwa kwenye Usaili wa waandishi Wasaidizi na waendeshaji Vifaa vya Bayometriki (BVR) December 18, 2024
  • TANGAZO LA KUHAKIKI UMILIKI WA ARDHI NYASA August 30, 2021
  • MAREKEBISHO YA TAREHE YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 17, 2022
  • View All

Latest News

  • Jela maisha Kwa Ubakaji

    May 27, 2025
  • Msigwa aipongeza Tamisemi kikao maafisa habari

    May 24, 2025
  • SERIKALI ilivyodhamiria kuboresha Barabara na madaraja

    May 23, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wapitia miradi 76 mkoa wa Ruvuma

    May 17, 2025
  • View All

Video

TUNAMPONGEZA Rais Samia kwa kutuletea maendeleo Nyasa na kumteua Dkt Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza
More Videos

Quick Links

  • Ruvuma Regional Website
  • Songea Municipal Website
  • Songea District Website
  • Mbinga Town Website
  • Mbinga District Website
  • Madaba District Website
  • Tunduru District Website
  • EGA WEBSITE
  • Namtumbo District Website

Related Links

  • National website
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistic

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Nyasa District Council

    Postal Address: Box 90 Mbamba bay

    Telephone: 025 -2952003

    Mobile:

    Email: ps.ded@nyasadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Nyasa District Council. All rights reserved.