• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Nyasa District Council
Nyasa District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Nyasa District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Organisation Structrure
  • Services
    • Water services
    • Education services
    • Health services
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • primary education
      • secondary education
      • planning,statistics and monitoring
      • Agriculture,Irrigation and Cooperative
      • Community Development, Social Welfare and Youth
      • Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescure
      • Environmental and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Water
      • Land and Natural Resource
      • Health
    • Unity/Sections
      • Information and Communication Technology
      • Legal
      • Internal Auditor
      • Procurement and Supply
    • Full Council
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
      • Tourist attraction-Nyasa dc Video
    • speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events
  • Projects
    • Completed projects
    • On Progress project

MKOA WA RUVUMA WASHIKA NAFASI NZURI KITAIFA UKUSANYAJI WA MAPATO

Posted on: January 19th, 2021

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Chritina Mndeme amewapongeza Wakurugenzi watendaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa kusimamia ukusanyaji wa Mapato kwa mwaka wa fedha 2019/2020 ambapo Halmashauri zote nane zimevuka  asilimia 80 na kufanya Mkoa kuwa katika nafasi nzuri Kitaifa.

Mndeme pia ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) Mkoa wa Ruvuma kwa kufanya kazi nzuri ya kukusanya Mapato ya ndani  ya Mkoa  katika kipindi cha mwaka 2019/2020 na kuweza kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 15 sawa na asilimia 94.

“Naipongeza Halmashauri ya Tunduru  kwa kukusanya Mapato ya Ndani kwa asilimia 121.87,pia naipongeza Halamashauri ya Manispaa ya Songea tangu  imeanza kutumia stendi kuu ya Shule ya Tanga Januari1,2021  imeongeza mapato kutoka shilingi 200,000 mpaka  970,000 kwa  siku”,alisema.

Mndeme amesema Mkoa unatarajia kuimarika kiuchumi kwa kuongezeka kwa mapato yatokanayo na kodi pamoja na ushuru kwasababu Barabara ya Ushoroba wa  Mtwara imefunguka na kupelekea kutoa fursa nyingi za kibiashara na kiuchumi.

Hata hivyo amesema biashara ambazo zinapatikana maeneo mengine Nchi Jirani za Malawi na Msumbiji yanaunganishwa kwa kupitia usafiri wa Ndege kupitia Uwanja wa ndege wa Songea na barabara ya lami ya Mtwara corridor.

Amesema Meli katika Ziwa Nyasa zimeanza kazi za Usafirishaji baada ya kuzinduliwa rasmi kwa Meli ya abiria ya MV Mbeya  II Januari 5,2021 na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano  wa Tanzania Kassim Majaliwa ambayo inabeba abiria  300 na Mizigo tani 200.

Hata hivyo Mndeme amewaagiza Wakurugenzi kusimamia Mapato yatokanayo na Kodi pamoja na Ushuru amesema fedha hizo hutumika katika kujenga miradi ya maendeleo ikiwemo vituo vya Afya,Barabara,Ununuzi wa Ndege,Ujenzi wa Reli na  huduma nyingine za kijamii.

Ameziagiza Halmashauri zote nane za Mkoa wa Ruvuma kubuni na kupanua wigo wa mapato kwa kuhimiza watu kudai Risiti na wafanyabiashara  kutoa risiti kila wanapouza  bidhaa mbalimbali.

Announcements

  • Fursa ya kuwekeza kilimo cha Korosho shamba Wilaya ya Nyasa October 24, 2024
  • TANGAZO la kuitwa kwenye Usaili wa waandishi Wasaidizi na waendeshaji Vifaa vya Bayometriki (BVR) December 18, 2024
  • TANGAZO LA KUHAKIKI UMILIKI WA ARDHI NYASA August 30, 2021
  • MAREKEBISHO YA TAREHE YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 17, 2022
  • View All

Latest News

  • Jela maisha Kwa Ubakaji

    May 27, 2025
  • Msigwa aipongeza Tamisemi kikao maafisa habari

    May 24, 2025
  • SERIKALI ilivyodhamiria kuboresha Barabara na madaraja

    May 23, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wapitia miradi 76 mkoa wa Ruvuma

    May 17, 2025
  • View All

Video

TUNAMPONGEZA Rais Samia kwa kutuletea maendeleo Nyasa na kumteua Dkt Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza
More Videos

Quick Links

  • Ruvuma Regional Website
  • Songea Municipal Website
  • Songea District Website
  • Mbinga Town Website
  • Mbinga District Website
  • Madaba District Website
  • Tunduru District Website
  • EGA WEBSITE
  • Namtumbo District Website

Related Links

  • National website
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistic

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Nyasa District Council

    Postal Address: Box 90 Mbamba bay

    Telephone: 025 -2952003

    Mobile:

    Email: ps.ded@nyasadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Nyasa District Council. All rights reserved.