• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Nyasa District Council
Nyasa District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Nyasa District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Organisation Structrure
  • Services
    • Water services
    • Education services
    • Health services
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • primary education
      • secondary education
      • planning,statistics and monitoring
      • Agriculture,Irrigation and Cooperative
      • Community Development, Social Welfare and Youth
      • Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescure
      • Environmental and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Water
      • Land and Natural Resource
      • Health
    • Unity/Sections
      • Information and Communication Technology
      • Legal
      • Internal Auditor
      • Procurement and Supply
    • Full Council
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
      • Tourist attraction-Nyasa dc Video
    • speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events
  • Projects
    • Completed projects
    • On Progress project

MFUMO WA STAKABADHI GHALANI RUVUMA YAFANIKIWA

Posted on: May 13th, 2021

Mrajis wa vyama vya Ushirika Nchini Dkt Benson Ndiege amewataka Viongozi,wanachama wa Ushirika na wakulima kuja kujifunza soko la mfumo wa stakabadhi ghalani mkoani Ruvuma kwa sababu Mkoa umefanikiwa katika kusimamia na kuendesha soko hilo.

Dkt Ndiege ametoa kauli hiyo wakati akishuhudia ufunguzi wa soko la pili la mnada wa kitaifa wa mazao yanayouzwa kwa mfumo wa stakabadhi ghalani uliofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma hivi karibuni.

Dkt Ndiege amesema mkoa wa Ruvuma umefanikiwa katika kuelimisha wakulima na kuwaunganisha pamoja katika soko la mfumo wa stakabadhi ghalani,hivyo amewataka Viongozi,wanachama wa Ushirika na wakulima kufika Ruvuma kujifunza juu ya mfumo huo.

“Nyie Songea au Ruvuma ni mfano mzuri kwenye mfumo wa stakabadhi ghalani nawapongeza”,amesema Dkt Ndiege.

Amesema mfumo wa stakabadhi ghalani ni mfumo shirikishi kwa wakulima na wafanyabiashara ambao unatoa fursa kwa wakulima kukusanya na kuuza mazao yao kwa pamoja na kutatua changamoto za ukosefu wa soko la uhakika vilevile humpunguzia mnunuzi gharama za ufuatiliaji na uhakika wa kupata mazao yenye ubora.

Amewataka wafanyabiashara kujali maslahi ya wakulima kwa kununua mazao hayo kwa bei ambayo hai mkatishi tamaa mkulima katika kuendelea kuzalisha zao hilo ambalo uzalishaji wake ni mgumu ukilinganisha na mazao mengine.

Kwa upande wake Afisa shughuli wa chama kikuu cha Ushirika cha SONAMCU Zamakanaly Komba amesema katika soko la mfumo wa stakabadhi ghalani wakulima ndiyo mtaji katika kuendesha soko hilo na wanamamlaka ya kukubali au kukata kuuza mazao yao endapo bei inyotajwa kutokuwa na maslahi kwao.

Komba amesema kwa msimu wa kilimo wa mwaka 2020/2021 katika soko la kwanza la mnada jumla ya tani 164 zilikusanywa toka kwa wakulima kupita Vyama vya Msingi vya Ushirika ambapo wakulima walikata kuuza kutokana bei kutowaridhisha ya shilingi 2210 kwa kilomoja.

Kwa upande wa wakulima wamedai bei hiyo ni ndogo wametaka wastani wa bei ianze na shilingi 3000 hadi shilingi 2500 kwa kilomoja ambayo inamaslahi kwao kulinga na gharama za uzalishaji.

Naye afisa kilimo wa Halmashauri ya wilaya ya Songea Hellen Shemzigwa amesema kwa msimu wa kilimo wa mwaka 2021/2022 Halmashauri inatarajia kuuza taani 2600 za ufuta.

Mfumo wa stakabadhi ghalani katika mkoa wa Ruvuma umewaingizia wakulima zaidi ya kiasi cha shilingi bilioni 28 kwa mazao ya ufuta,soya,na mbaazi katika msimu wa masoko wa mwaka 2020/2021.

Announcements

  • Fursa ya kuwekeza kilimo cha Korosho shamba Wilaya ya Nyasa October 24, 2024
  • TANGAZO la kuitwa kwenye Usaili wa waandishi Wasaidizi na waendeshaji Vifaa vya Bayometriki (BVR) December 18, 2024
  • TANGAZO LA KUHAKIKI UMILIKI WA ARDHI NYASA August 30, 2021
  • MAREKEBISHO YA TAREHE YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 17, 2022
  • View All

Latest News

  • Mwenyekiti wa Tume huru ya Uchaguzi Tanzania akagua vituo vya kujiandikisha Nyasa.

    May 04, 2025
  • Dc Nyasa awataka madiwani na watendaji kubuni vyanzo vipya vya mapato

    April 30, 2025
  • DC Nyasa azindua Kituo kipya cha Mafuta

    April 26, 2025
  • Wilaya ya Nyasa yaadhimisha miaka 61 ya Muungano kwa Kufanya Usafi

    April 26, 2025
  • View All

Video

TUNAMPONGEZA Rais Samia kwa kutuletea maendeleo Nyasa na kumteua Dkt Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza
More Videos

Quick Links

  • Ruvuma Regional Website
  • Songea Municipal Website
  • Songea District Website
  • Mbinga Town Website
  • Mbinga District Website
  • Madaba District Website
  • Tunduru District Website
  • EGA WEBSITE
  • Namtumbo District Website

Related Links

  • National website
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistic

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Nyasa District Council

    Postal Address: Box 90 Mbamba bay

    Telephone: 025 -2952003

    Mobile:

    Email: ps.ded@nyasadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Nyasa District Council. All rights reserved.