• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Nyasa District Council
Nyasa District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Nyasa District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Organisation Structrure
  • Services
    • Water services
    • Education services
    • Health services
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • primary education
      • secondary education
      • planning,statistics and monitoring
      • Agriculture,Irrigation and Cooperative
      • Community Development, Social Welfare and Youth
      • Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescure
      • Environmental and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Water
      • Land and Natural Resource
      • Health
    • Unity/Sections
      • Information and Communication Technology
      • Legal
      • Internal Auditor
      • Procurement and Supply
    • Full Council
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
      • Tourist attraction-Nyasa dc Video
    • speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events
  • Projects
    • Completed projects
    • On Progress project

MAAGIZO ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kwa Halmashauri ya Nyasa

Posted on: June 22nd, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas ametoa maagizo 20 kwa Halmashauri mbili zilizopata hati zenye mashaka ili ziweze kubadilika na kurejea kwenye hati safi.

Kanali Thomas ametoa maagizo hayo kwa nyakati tofauti katika Halmashauri za Mbinga Mji na Nyasa ambazo zimepata hati zenye mashaka wakati anazungumza kwenye kikao maalum cha Baraza la madiwani cha kujadili taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2021/2022.

Maagizo yaliyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma ni Pamoja na kufunga hoja zote zilizosalia,kuzuia kujirudia kwa hoja,wakuu wa Idara kushiriki kuandaa kikamilifu majibu ya hoja na Halmashauri kuchukua hatua za kinidhamu mapema kwa watumishi wanaozalisha hoja.

“Hakikisheni taarifa za hesabu za mwisho za  mwaka zinaandaliwa kwa kuzingatia matakwa ya viwango vya kihasibu vya kimataifa katika sekta ya umma na Afisa Masuuli uhakikishe unashiriki mwenyewe katika vikao vya wakaguzi’’,alisisitiza.

Maagizo mengine ni  kudhibiti upotevu wa mapato katika Halmashauri,marufuku kutumia fedha mbichi,fedha zote zinazokusanywa lazima ziingizwe kwenye mfumo wa mapato na kuwasilishwa  benki,kuzingatia sheria za manunuzi na Halmashauri kuendelea kulipa madeni mbalimbali ya wazabuni.

Mkuu wa Mkoa pia ameagiza  kufanyika mara kwa mara vikao vya Kamati ya ukaguzi wa Hesabu katika Halmashauri,kufuatilia wadaiwa sugu wa mapato ya Halmashauri,kusimamia kikamilifu mfuko wa Bima ya Afya CHF iliyoboreshwa,kutoa elimu kwa wanufaika wa asilimia kumi na kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Mkuu wa Mkoa amesikitishwa na Halmashauri hizo kupata hati zenye mashaka katika matokeo ya ukaguzi ambao ulifanywa na CAG katika mwaka wa fedha ulioishia Juni 30,2022.

Hata hivyo amesema licha ya kupata hati zenye mashaka,mwenendo wa kushughulikia Hoja na Mapendekezo ya CAG katika Halmashauri hizo  bado hauridhishi.

Ameuagiza Uongozi wa Halmashauri hizo kuhakikisha kuwa wanakamilisha utekelezaji wa kujibu hoja na mapendekezo yote ya CAG kabla ya Septemba 30,2023.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wakurugenzi wa Halmashauri za Mji wa Mbinga na Halmashauri ya Nyasa wameahidi kutekeleza kikamlifu maagizo yote yaliyotolewa na Mkuu wa Mkoa ili kuhakikisha Halmashauri hizo katika ukaguzi ujao wa CAG wanarejea kupata hati safi.

Mkoa wa Ruvuma una Halmashauri nane kati ya hizo Halmashauri sita zimepata hati safi na halmashauri mbili zimepata hati zenye mashaka katika matokeo ya ukaguzi wa CAG uliofanywa katika mwaka wa fedha unaoishia Juni 30,2022.

Mwisho.


Announcements

  • Fursa ya kuwekeza kilimo cha Korosho shamba Wilaya ya Nyasa October 24, 2024
  • TANGAZO la kuitwa kwenye Usaili wa waandishi Wasaidizi na waendeshaji Vifaa vya Bayometriki (BVR) December 18, 2024
  • TANGAZO LA KUHAKIKI UMILIKI WA ARDHI NYASA August 30, 2021
  • MAREKEBISHO YA TAREHE YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 17, 2022
  • View All

Latest News

  • RAIS SAMIA AMWAGA MAMILIONI YA EDHA KUIMARISHA SEKTA YA AFYA NYASA DC

    June 28, 2025
  • RAIS SAMIA AMWAGA MAMILIONI YA EDHA KUIMARISHA SEKTA YA AFYA NYASA DC

    June 28, 2025
  • TAARIFA YA MAENDELEO YA JAMII

    June 26, 2025
  • KICHEKO CHATAWALA TAFRIJA YA KUWAAGA MADIWANI

    June 19, 2025
  • View All

Video

TUNAMPONGEZA Rais Samia kwa kutuletea maendeleo Nyasa na kumteua Dkt Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza
More Videos

Quick Links

  • Ruvuma Regional Website
  • Songea Municipal Website
  • Songea District Website
  • Mbinga Town Website
  • Mbinga District Website
  • Madaba District Website
  • Tunduru District Website
  • EGA WEBSITE
  • Namtumbo District Website

Related Links

  • National website
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistic

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Nyasa District Council

    Postal Address: Box 90 Mbamba bay

    Telephone: 025 -2952003

    Mobile:

    Email: ps.ded@nyasadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Nyasa District Council. All rights reserved.