• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Nyasa District Council
Nyasa District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Nyasa District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Organisation Structrure
  • Services
    • Water services
    • Education services
    • Health services
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • primary education
      • secondary education
      • planning,statistics and monitoring
      • Agriculture,Irrigation and Cooperative
      • Community Development, Social Welfare and Youth
      • Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescure
      • Environmental and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Water
      • Land and Natural Resource
      • Health
    • Unity/Sections
      • Information and Communication Technology
      • Legal
      • Internal Auditor
      • Procurement and Supply
    • Full Council
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
      • Tourist attraction-Nyasa dc Video
    • speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events
  • Projects
    • Completed projects
    • On Progress project

DC Nyasa awataka Wananchi kushiriki uchaguzi wa Serikali

Posted on: April 17th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mh. Peres Magiri, amewataka wananchi wa Wilaya ya Nyasa kushiriki kikamilifu Uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajia kufanyika mwaka huu 2024.

Ameyasema hayo katika Kijiji ncha Ndengere Kata ya Mbamba bay tarehe 17/04/2024 Wilayani Nyasa, wakati akiongea na wananchi wa Kijiji hicho katika mkutano wa hadhara wenye lengo la kujitambulisha kwa wananchi, kusikiliza kero za wananchi na kutatua.

Mh.Magiri amefafanua kuwa mwaka huu 2024 kutakuwa na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hivyo wananchi, wanatakiwa kushiriki kwa kujitokeza kugombea na kuchagua kiongozi bora atakayewaletea maendeleo.

Ameongeza kuwa ushiriki wa wananchi ni muhimu sana Katika Uchaguzi kwa kuwa kama tutashirikiana kuchagua viongozi bora, malalamiko yatapungua Ngazi ya Vijiji na Kata na kero zitatatuliwa kwa wakati.

“Ninawaomba wananchi tujitokeze kwa wingi kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uchaguzi utakaofanyika Mwaka huu,ninawataka wanawake pia mshiriki uchaguzi huu kwa kuchukua fomu za kugombea nafasi za Uongozi”

Ziara ya Mkuu wa Wilaya ya Nyasa ni ya siku 3 na inafanyika katika Kata ya tarehe 17/04/2024 Mbambabay, Kilosa tarehe,18/04/2024, na Mbaha ni tarehe 19.04.2024

Katika Hatua nyingine amewataka wananchi hao kujitokeza kwa wingi kumlaki Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt Emanuely Nchimbi atakayefanya Ziara ya Kikazi Wilayani Nyasa Tarehe 21/04/2024 atakayefanya Mkutano wa Hadhara katika Viwanja Vya Bandari Mjini Mbamba bay.

Announcements

  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya wilaya ya Nyasa December 01, 2025
  • TANGAZO LA KUHAKIKI UMILIKI WA ARDHI NYASA August 30, 2021
  • MAREKEBISHO YA TAREHE YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 17, 2022
  • TANGAZO la nafasi ya kazi February 03, 2023
  • View All

Latest News

  • Balozi wa Tanzania nchini Malawi atembelea Wilaya ya Nyasa

    December 06, 2025
  • Maonesho ya Nane Nane Kanda za Nyanda za juu kusini , Mguu sawa Kuanza leo

    August 01, 2025
  • UTEKELEZAJI KAMPENI YA CHANJO YA MIFUGO YAANZA NYASA

    July 12, 2025
  • MAKUNDI SOGOZI YA WHATSAAP YAPASWA KUJADILI MAENDELEO

    July 12, 2025
  • View All

Video

TUNAMPONGEZA Rais Samia kwa kutuletea maendeleo Nyasa na kumteua Dkt Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza
More Videos

Quick Links

  • Ruvuma Regional Website
  • Songea Municipal Website
  • Songea District Website
  • Mbinga Town Website
  • Mbinga District Website
  • Madaba District Website
  • Tunduru District Website
  • EGA WEBSITE
  • Namtumbo District Website

Related Links

  • National website
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistic

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Nyasa District Council

    Postal Address: Box 90 Mbamba bay

    Telephone: 025 -2952003

    Mobile:

    Email: ps.ded@nyasadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Nyasa District Council. All rights reserved.