• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Nyasa District Council
Nyasa District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Nyasa District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Organisation Structrure
  • Services
    • Water services
    • Education services
    • Health services
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • primary education
      • secondary education
      • planning,statistics and monitoring
      • Agriculture,Irrigation and Cooperative
      • Community Development, Social Welfare and Youth
      • Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescure
      • Environmental and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Water
      • Land and Natural Resource
      • Health
    • Unity/Sections
      • Information and Communication Technology
      • Legal
      • Internal Auditor
      • Procurement and Supply
    • Full Council
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
      • Tourist attraction-Nyasa dc Video
    • speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events
  • Projects
    • Completed projects
    • On Progress project

Dc Nyasa awataka wananchi kula Vyakula vyenye Lishe Bora

Posted on: October 12th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa Tarehe 12/10/2022 imefanya kikao cha Tathimini ya Lishe Robo ya kwanza mwaka 2022/2023 kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Nyasa na kuongozwa na kaimu Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mh, Aziza Mangosongo ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya Lishe Wilayani hapa.

Akifungua kikao hicho amewataka wanaume kuacha kunyonya maziwa ya akina mama kwa kisingizio kuwa yanaongeza nguvu za kiume, badala yake wawaachie wanyonye watoto ili wapate afya baora, na wao wajikite kula vyakula bora vyenye virutubisho vya kutosha na vya kiasili.

Amewataka watendaji wa kata watoe elimu na kuadhimisha siku za lishe kwa kupika chakula bora, katika kila kijiji na kata ili kuhamasisha kila shule, iwe na klabu ya Lishe ili kuwahamasisha wanafunzi,wazazi na walezi ili kupambana na utapia mlo, na kuhamasisha akina mama kuwanyonyesha watoto kwa muda wa miezi 6 bila kumpa mtoto chakula chochote.

Ameongeza kuwa hali ya Lishe Wilayani Nyasa ni nzuri lakini tunatakiwa kujikita kwenye uhamasishaji jamii  kula vyakula bora tangu ngazi ya vijiji na kata ili wananchi waweze kuwa na afya bora

Aidha ametoa wito kwa viongozi wote wilayani Nyasa kutoa ripoti ya utekelezaji wa hali ya lishe kwa ngazi zote za utawala.

Mkuu huyo pia amesimamia utiaji saini ya mkataba wa Lishe kati ya Watendaji kata na Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Nyasa ndugu Jimson Mhagama, na kuwataka kusimamia mkataba huo vizuri kwa kuhakikisha jamii inakula vyakula bora,kwa kuwa mkataba huo kuwa ni maagizo ya Mh, Rais wa Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan..

Announcements

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI WILAYA YA NYASA April 18, 2023
  • Tangazo la kujiunga na jeshi la kujenga Taifa, (JKT) August 29, 2023
  • TANGAZO LA KUHAKIKI UMILIKI WA ARDHI NYASA August 30, 2021
  • MAREKEBISHO YA TAREHE YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 17, 2022
  • View All

Latest News

  • Dc Nyasa-Wasiopeleka watoto shule wajiandae kufungwa

    November 25, 2023
  • Timu ya wataalam kutoka Ofisi ya mkuu wa Mkoa Ruvuma yakagua miradi ya Maendeleo, yampongeza Ded Nyasa USimamizi miradi

    November 18, 2023
  • Mkurugenzi Mtendaji wilaya ya Nyasa awataka watumishi wa afya kutoa huduma Bora Kwa wananchi

    November 16, 2023
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa yapokea gari jipya la kubebea wagonjwa

    November 16, 2023
  • View All

Video

JENGO JIPYA LA UTAWALA NYASADC
More Videos

Quick Links

  • Ruvuma Regional Website
  • Songea Municipal Website
  • Songea District Website
  • Mbinga Town Website
  • Mbinga District Website
  • Madaba District Website
  • Tunduru District Website
  • EGA WEBSITE
  • Namtumbo District Website

Related Links

  • National website
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistic

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Nyasa District Council

    Postal Address: Box 90 Mbamba bay

    Telephone: 025 -2952003

    Mobile:

    Email: ps.ded@nyasadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Nyasa District Council. All rights reserved.