• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Nyasa District Council
Nyasa District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Nyasa District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Organisation Structrure
  • Services
    • Water services
    • Education services
    • Health services
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • primary education
      • secondary education
      • planning,statistics and monitoring
      • Agriculture,Irrigation and Cooperative
      • Community Development, Social Welfare and Youth
      • Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescure
      • Environmental and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Water
      • Land and Natural Resource
      • Health
    • Unity/Sections
      • Information and Communication Technology
      • Legal
      • Internal Auditor
      • Procurement and Supply
    • Full Council
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
      • Tourist attraction-Nyasa dc Video
    • speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events
  • Projects
    • Completed projects
    • On Progress project

CCM MKOA YARIDHISHWA NA MIRADI NYASA

Posted on: August 17th, 2019

 

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Ruvuma Oddo Mwisho, akiwa ameambatana na Kamati ya Siasa ya Mkoani hapa, ameridhishwa na Utekelezaji wa miradi ya Maendeleo na ushirikishwaji wa jamii katika miradi iliyotekelezwa kwa mwaka wa fedha 2018/2019 katika Wilaya ya Nyasa.

Ameyasema hayo jana wakati akihitimisha Ziara ya kikazi siku mbili agosti 14-15, ya kutembelea na kukagua, miradi ya maendeleo katika Tarafa ya mpepo na Luhekei, Wilayani Nyasa Mkoani Ruvuma.

Bwana Mwisho alifafanua kuwa kwa Miradi nane(8)ambayo amekagua amefurahi kuona imetekelezwa vizuri na kwa kiwango cha hali ya juu, na Jamii imeshirikishwa na wanatambua miradi yote inayotekelezwa katika maeneo yao, na wanachangia nguvu zao licha yaSerikali kutoa Fedha ili kuunga Mkono juhudi za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais Dkt John Pombe Magufuli.

Aliitaja miradi aliyokagua kuwa nia Ujenzi wa Hosteri mbili shule ya Sekondari Kingerikiti,Ukamilishaji wa vyumba 3 vya madarasa shule ya msingi Kibaoni,iliyopo Kata ya Tingi ambayo iko hatua ya Ring bim, Ujenzi wa Vyumba nane vya madarasa,matundu sita ya vyoo,meza 240 na viti 240 na ujenzi wa bw Sekondari Mhandisi Stella Manyanya katika Kata ya Mpepo Wilayani hapa.

Aliongeza miradi minginwe aliyokagua nia Shamba la Miti ya Misindano (Pines Patula) iliyopandwa na Wakala wa huduma za Misitu Tanzania shamba ambalo lina ukubwa wa Hekta 20,905 zinazofaa kwa ajili ya upandaji miti na hekta 680 kati ya hizo zimetumika kwa kupandwa miti 555,500/= na upanuzi wa shamba ukiwa unaendelea,mradia ambao ulimfurahisha sana na kutoa wito kwa wananchi wote wa Mkoa wa Ruvuma wapande miti ili kutunza mazingira na kuongeza kipato kwa wananchi kwa miaka ijayo.

Pia alikagua ujenzi wa hosteri na bwalo la Chakula shule ya Sekondari Nyasa katika Kata ya Chimate na Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Nyasa ambayo imefikia Asilimia tisini na tano(95) ya ukamilishaji, wa majengo saba yanayojengwa katia Kijiji Cha Nangombo Kata ya Kilosa Wilayania hapa na alitoa Pongezi Kwa ushirikiano mzuri uliopo kati ya Wananchi,wataalam na Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Bi Isabela Chilumba,

“Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa Uongozi wa Wilaya ya Nyasa ukiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Bi Isabela Chilumba na Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Nyasa Bw.Jimson Mhagama kwa ushirikiano mliouonyesha katika Ujenzi wa Hospitali hii ya Wilaya ambayo imejengwa kwa Ustadi mkubwa na ushirikiano wa hhli ya juu kati ya Wananchi wataalam na Serikali.Naomba ushirikiano huu uendelee.

Miradi mingine aliyoikagua ni ujenzi wa Ofisi ya Mdhibiti wa Elimu Wilaya ya Nyasa na Ujenzi wa jengo la Tanesco lilopo katika kijiji cha kilosa na Kata ya KIlosa wilaya ni hapa.

Aidha alitoa wito kwa Viongozi wote wa Chama cha Mapinduzi(CCM) kuanzia ngazi ya Shina, Tawi, Kata Wilaya na Mkoa kuhakikisha wanawahamasisha wananchi kushiriki shughuli mbalimbali za miradi ya maendeleo zinazotekelezwa katika Maeneo yao.

Imeandaliwa Na Netho c.Sichali ofisa habari,wilaya ya Nyasa,0767417597

Announcements

  • Fursa ya kuwekeza kilimo cha Korosho shamba Wilaya ya Nyasa October 24, 2024
  • TANGAZO la kuitwa kwenye Usaili wa waandishi Wasaidizi na waendeshaji Vifaa vya Bayometriki (BVR) December 18, 2024
  • TANGAZO LA KUHAKIKI UMILIKI WA ARDHI NYASA August 30, 2021
  • MAREKEBISHO YA TAREHE YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 17, 2022
  • View All

Latest News

  • Jela maisha Kwa Ubakaji

    May 27, 2025
  • Msigwa aipongeza Tamisemi kikao maafisa habari

    May 24, 2025
  • SERIKALI ilivyodhamiria kuboresha Barabara na madaraja

    May 23, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wapitia miradi 76 mkoa wa Ruvuma

    May 17, 2025
  • View All

Video

TUNAMPONGEZA Rais Samia kwa kutuletea maendeleo Nyasa na kumteua Dkt Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza
More Videos

Quick Links

  • Ruvuma Regional Website
  • Songea Municipal Website
  • Songea District Website
  • Mbinga Town Website
  • Mbinga District Website
  • Madaba District Website
  • Tunduru District Website
  • EGA WEBSITE
  • Namtumbo District Website

Related Links

  • National website
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistic

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Nyasa District Council

    Postal Address: Box 90 Mbamba bay

    Telephone: 025 -2952003

    Mobile:

    Email: ps.ded@nyasadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Nyasa District Council. All rights reserved.