• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Nyasa District Council
Nyasa District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Nyasa District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Organisation Structrure
  • Services
    • Water services
    • Education services
    • Health services
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • primary education
      • secondary education
      • planning,statistics and monitoring
      • Agriculture,Irrigation and Cooperative
      • Community Development, Social Welfare and Youth
      • Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescure
      • Environmental and Sanitation
      • Livestock and Fisheries
      • Water
      • Land and Natural Resource
      • Health
    • Unity/Sections
      • Information and Communication Technology
      • Legal
      • Internal Auditor
      • Procurement and Supply
    • Full Council
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
      • Tourist attraction-Nyasa dc Video
    • speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events
  • Projects
    • Completed projects
    • On Progress project

MAAFISA KILIMO NA VIONGOZI WA VYAMA VYA USHIRIKA WAJENGEWA UWEZO,NYASA NA MBINGA

Posted on: December 6th, 2019


Viongozi wa vyama tisa(9) vya  Ushirika vya Msingi vya mazao (AMCOS ) katika Wilaya ya Nyasa na Mbinga wamepatiwa mafunzo ya kukuza njia asilia za kilimo ili kuwa saidia wakulima kuongeza ubora na kuhakikisha kunakuwa na kuhakikisha kunakuwa na kahawa bora kwa sasa na kwa baadaye kwa mtumiaji yeyote.

Mafunzo hayo yamefanyika  leo katika Ukumbi wa WALIOCHONACHO NA WASIOKUWANACHO uliopo Mtaa wa Ruhuwiko Mjini Mbinga yaliyotolewa na Kampuni ya Kahawa ya Starbucks yenye makao yake makuu jijini Mbeya na lengo lamafunzo hayo ni kukuza njia asilia za kilimo cha kahawa, ili kuwasaidia wakulima kuboresha zao la kahawa, na kuongeza ubora na kuhakisha kunakuwa na kahawa bora kwa sasa na kwa baadaye

 akifungua mafunzo hayo,Mkuu wa Idara ya kilimo,Umwagiliaji na Ushirika Bw.Menance Ndomba alisema Halmashauri ya Wilaya ya Nyasaitawachukulia hatua kali maafisa kilimo wote ambao hawatawasaidia wakulima kuongeza ubora wa kahawa ili kuwapa maendeleo wananchi.  

Bw. Ndomba amefafanua kuwa atahakikisha Maafisa kilimo wote Wilayani Nyasa, ambao watashindwa kuwapa elimu wakulima ili wazalishe kahawa yenye ubora atahakikisha anawachukulia hatua za kinidhamu pamoja na kuwafukuza kazi.

Aliongeza kuwa kahawa ni zao la kimkakati ambalo Serikali imelipa kipaumbele hivyo maafisa kilimo wanatakiwa kufanya kazi kwa juhudi na maarifa kwa kuwapa elimu wakulima na kuwasaidia kutatua changamoto zinazowakabili ili kuzalisha kahawa yenye ubora na nyingi na kupelekea wananchi  wanapata maendeleo.

“Maafisa kilimo wa Wilaya ya Nyasa nitawapima kwa kuangalia wananchi wamepata ubora gani wa kahawa. Afisa kilimo mmeajiriwa kwa kazi ya kuhakikisha wananchi/wakulima wanakuwa na maendeleo kwa kuzalisha mazao yenye ubora na yakutosha.Tunapozungumzia maendeleo ni pamoja na kuhakikisha Wakulima wanakuwa na elimu ndelevu ya mazao mbalimbali hasa mazao ya kimkakati. Nichukue fursa hii kuwaambia Nyasa hatumtaki Afisa kilimo asiyetoa elimu kwa wakulima wake ili waweze kuzalisha mazao bora.

Aidha bw.Ndomba ameipongeza Serikali ya awamu ya tano kwa kuimarisha na kusimamia mfumo wa Vyama vya Msingi vya Ushirika vya Mazao (AMCOS) kwa kuwa wakulima wameweza kuuza kahawa zao kwa pamoja kwa bei mzuri, kuweza kufanya manunuzi ya Pembejeo kwa pamoja (Bulk purchase)  hususani mbolea ambapo AMCOS zilizopo Nyasa tayari zimeshanunua mbolea na kusambaza kwa wanachama wake.

Naye Meneja wa Kampuni ya Stabucks Farmers Center amesema kahawa inayotoka Wilaya ya Mbinga na Nyasa ni nzuri na inapendwa katika soko la Dunia kwa kuwa ni ya asili, hivyo tunatakiwa  kuongeza ubora wa kahawa yetu na kuulinda ili bei iwe nzuri, mkulima anufaike zaidi kwa kuuza bei ya juu kwa kuwa ubora wa kahawa unaongeza Bei katika soko la Dunia.

Aliwapongeza wakulima hao kwa kazi nzuri ya kuzalisha kahawa nzuri, na kuwataka kuongeza uzalishaji wa kahawa inayolimwa katika Wilaya ya Nyasa na Mbinga.

Mafunzo haya ni ya siku moja yaliyowakutanisha Viongozi wa vyama vya msingi vya wakulima wa kahawa,vya Tingi,Upolo,Luhangarasi,Kingerikiti,Nambawala,Mapendo na Lipo kwa Wilaya ya Nyasa na Ngaka na Mahenge kwa Wilaya ya Mbinga, Maafisa kilimo na wadau wa zao la kahawa.

Announcements

  • Fursa ya kuwekeza kilimo cha Korosho shamba Wilaya ya Nyasa October 24, 2024
  • TANGAZO la kuitwa kwenye Usaili wa waandishi Wasaidizi na waendeshaji Vifaa vya Bayometriki (BVR) December 18, 2024
  • TANGAZO LA KUHAKIKI UMILIKI WA ARDHI NYASA August 30, 2021
  • MAREKEBISHO YA TAREHE YA TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 17, 2022
  • View All

Latest News

  • RAIS SAMIA AMWAGA MAMILIONI YA EDHA KUIMARISHA SEKTA YA AFYA NYASA DC

    June 28, 2025
  • RAIS SAMIA AMWAGA MAMILIONI YA EDHA KUIMARISHA SEKTA YA AFYA NYASA DC

    June 28, 2025
  • TAARIFA YA MAENDELEO YA JAMII

    June 26, 2025
  • KICHEKO CHATAWALA TAFRIJA YA KUWAAGA MADIWANI

    June 19, 2025
  • View All

Video

TUNAMPONGEZA Rais Samia kwa kutuletea maendeleo Nyasa na kumteua Dkt Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza
More Videos

Quick Links

  • Ruvuma Regional Website
  • Songea Municipal Website
  • Songea District Website
  • Mbinga Town Website
  • Mbinga District Website
  • Madaba District Website
  • Tunduru District Website
  • EGA WEBSITE
  • Namtumbo District Website

Related Links

  • National website
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistic

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Nyasa District Council

    Postal Address: Box 90 Mbamba bay

    Telephone: 025 -2952003

    Mobile:

    Email: ps.ded@nyasadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Nyasa District Council. All rights reserved.